Darubini Leo
Mwanzo
Magazeti
Ushauri wa Kiroho
Mawasiliano
Jumamosi, 8 Juni 2013
AJIRA NI POPOTE; LA MUHIMU MKONO KINYWANI
Hapa ni maeneo ya Ubungo barabara ya Morogoro jirani na taa za kuongozea magari, ndugu huyu ufanya kazi ya kusafisha vioo vya magari na baada ya hapo uomba ujira wa ile kazi aliyoifanya, na umri wake ni kama miaka 32 hivi, na kila wakati utamkuta maeneo jirani na mataa, akivizia magari yanapo simama ili aweze kufanya usafi
Wakati mwingine uongeza bidii na hadi anapanda juu ya magari kwaajili ya kusafisha, kwa hakika lazima utatoa tu pesa, je hii nayo ni ajira au ni uvunjifu wa sheria za usalama barabarani na kuwakosesha watu amani?
Posted By:
Unknown
On
02:42
In
Tweet
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Call Us Now:
+255 655 732121, +255 716 758595 / +255 762 758595
Popular Posts
HATARI YA KUSAHAU MAMBO AMBAYO MUNGU ALIKUTENDEA
Na Mchungaji Josephat Gwajima Mungu katika Neno lake Mara nyingi anawaambia watu wake wakumbuke. Kuna uwezekano wa kusahau mambo ya ny...
WACHAWI WADONDOKA CHINI HUKO SHINYANGA, NA WAFIKISHWA KATIKA MIKONO YA SHERIA, NI VIKONGWE WA SANGOMA
AMA hakika duniani kuna mambo! Na lisemwalo lipo kama halipo basi laja. Ni jambo ambalo ni vigumu kuliamini lakini ukweli wa mambo n...
AFUNGWA MWAKA MMOJA KWA KUMTUMIA SMS MBAYA WAZIRI NCHIMBI
Mkazi Wa Mburahati Jogoo jijini Dar es salaam, Nassor Issa Mohamed (25) amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja au kulipa faini ya shil...
Albino wazua tafrani Polisi Bugurun
Dar es Salaam. Watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), jana walizua tafrani Kituo cha Polisi Buguruni, wakipinga dhamana kwa mshtakiwa, ...
UNYAMA WA KUTISHA KWA MWANADAMU MWENZAKO!! KWELI?
ALI Omar, mkazi wa Kijiji cha Mabana, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumkata miguu Said Iddi kwa ...
GWAJIMA; MTU NI ROHO
Hii ni siri ambayo wengi wetu hawaifahamu kuwa Mtu si huu mwili bali mtu ni roho. Kama mtu angekuwa mwili, usingesema "mwili wangu...
WATU KADHAA WAFARIKI!! BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO YA VURUGU ZA MKOANI MTWARA
Kumetokea vurugu kubwa mjini Mtwara, vurugu ambazo zimesababiswha na wananchi na wakazi wa Mtwara, vurugu hizi zilianza tu mara baada ya ...
MADAWA YA KULEVYA YATAKING'OA MADARAKANI CCM
ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kipentekoste, Kanda ya Mbeya, William Mwamalanga ameonya kuwa, ‘kabla hata jua halijazama’ Mungu anaenda ku...
WATU WATATU WAMEUAWA KWENYE MILIPUKO HUKO BOSTON MAREKANI
Watu 3 wauwawa kwenye mbio za Boston Marathon Mpaka sasa watu watatu wameshakufa kutokana na mashambulio ya mabomu ...
RAIS KIKWETE KATIKA HARAMBEE
Rais Kikwete mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia Chuo Cha Kiislamu Cha Al- Haramain. 15 April 2013 By Admin 0 comme...
Mara ngapi imetembelewa?
Habari toka Mitandaoni
BOFYA HAPA: Kupata habari mpya toka Funguka sasa
BOFYA HAPA: Kupata Habari mbali mbali za soka toka vilabu vikubwa Duniani na Tanzania pia.
Pia unaweza kutangaza nasi kwa bei nafuu kabisa kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba zinazoonekana kushoto kwako
Mawasiliano
Wasiliana nasi kwa kutumia Namba za simu:
+255 655 732 121 au +255 716 758 595
Pia kwa Barua pepe:
sautiyakanisa@gmail.com
Tutumie maoni ni jinsi gani twaweza kuboresha huduma yetu ya habari kwa ajili yako na jamii yetu pia.
Tuma ujumbe kwenye barua pepe au moja kati ya namba za simu hapo juu.
Habari za Makanisa
Kutoka Makanisani
Ratiba za Ibada
Mikutano na Semina za neno la Mungu
Huduma za Watumishi Yaliyojiri Ibada za Jumapili
PRIMIUN ADS
Home
Magazetini
Ushauri wa kiroho
Teknolojia
Help
Mawasiliano
© 2013 Darubini Leo
Designed by:
Mesh Mushobozi