Darubini Leo
Mwanzo
Magazeti
Ushauri wa Kiroho
Mawasiliano
Jumamosi, 8 Juni 2013
AJIRA NI POPOTE; LA MUHIMU MKONO KINYWANI
Hapa ni maeneo ya Ubungo barabara ya Morogoro jirani na taa za kuongozea magari, ndugu huyu ufanya kazi ya kusafisha vioo vya magari na baada ya hapo uomba ujira wa ile kazi aliyoifanya, na umri wake ni kama miaka 32 hivi, na kila wakati utamkuta maeneo jirani na mataa, akivizia magari yanapo simama ili aweze kufanya usafi
Wakati mwingine uongeza bidii na hadi anapanda juu ya magari kwaajili ya kusafisha, kwa hakika lazima utatoa tu pesa, je hii nayo ni ajira au ni uvunjifu wa sheria za usalama barabarani na kuwakosesha watu amani?
Posted By:
Unknown
On
02:42
In
Tweet
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Call Us Now:
+255 655 732121, +255 716 758595 / +255 762 758595
Popular Posts
HATARI YA KUSAHAU MAMBO AMBAYO MUNGU ALIKUTENDEA
Na Mchungaji Josephat Gwajima Mungu katika Neno lake Mara nyingi anawaambia watu wake wakumbuke. Kuna uwezekano wa kusahau mambo ya ny...
UNYAMA WA KUTISHA KWA MWANADAMU MWENZAKO!! KWELI?
ALI Omar, mkazi wa Kijiji cha Mabana, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumkata miguu Said Iddi kwa ...
JK. MFANO WA KUIGWA KATIKA UPENDO NA KUWAJALI WENGINE
Rais Kikwete ni kiongozi wa aina yake katika uongozi wake, ni kawaida kwa viongozi wengi hasa wenye ngazi za juu, kutojihusisha na ma...
MANABII NA MAASKOFU WANAOTUMIA MAJI NA MAFUTA NI MATAPELI
Askofu mkuu na mwanzilishi wa kanisa la Redeemed Gospel Church Dunia Askofu Arthur Kitoga amesema viongozi wa kanisa lolote wanaotumia ma...
MGOMO WAIPOOZESHA UGIRIKI
Mgomo wa saa 24 wa wafanyakazi wa sekta ya umma nchini Ugiriki umeipoozesha kabisa nchi hiyo, huku bunge likitarajiwa hivi leo kupiti...
MUGABE ASHINDA UCHAGUZI ZIMBABWE
Rais Robert Gabriel Mubage ameshinda kwa kishindo uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe unaobishaniwa, matokeo rasmi yameonesha jana Jumam...
SIMANZI ZA FAMILIA ASKARI WALIOFARIKI HUKO DARFUR
Songea . Vilio na simanzi vimetawala katika baadhi ya familia za askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambao waliuwawa kat...
MHASHAMU TITUS ASIMIKWA KUWA ASKOFU MSAIDIZI DAR
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na MwadahamaPolycarp Kaldianali Pengo (kushoto) wakishuhudia wakati Mhashamu Titus Mdoe, Askofu Msaidi wa Jimbo ...
WACHAWI WADONDOKA CHINI HUKO SHINYANGA, NA WAFIKISHWA KATIKA MIKONO YA SHERIA, NI VIKONGWE WA SANGOMA
AMA hakika duniani kuna mambo! Na lisemwalo lipo kama halipo basi laja. Ni jambo ambalo ni vigumu kuliamini lakini ukweli wa mambo n...
UHURU KENYATTA RAIS MPYA WA KENYA, WAKENYA WANAMATUMAINI MAPYA NA MAKUBWA
Wakenya wamempata Rais mpya ambaye ni Mh Uhuru Kenyatta, ameapishwa kulingana na katiba ya Kenya, na umati mkubwa wa watu walikuwa ...
Mara ngapi imetembelewa?
Habari toka Mitandaoni
BOFYA HAPA: Kupata habari mpya toka Funguka sasa
BOFYA HAPA: Kupata Habari mbali mbali za soka toka vilabu vikubwa Duniani na Tanzania pia.
Pia unaweza kutangaza nasi kwa bei nafuu kabisa kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba zinazoonekana kushoto kwako
Mawasiliano
Wasiliana nasi kwa kutumia Namba za simu:
+255 655 732 121 au +255 716 758 595
Pia kwa Barua pepe:
sautiyakanisa@gmail.com
Tutumie maoni ni jinsi gani twaweza kuboresha huduma yetu ya habari kwa ajili yako na jamii yetu pia.
Tuma ujumbe kwenye barua pepe au moja kati ya namba za simu hapo juu.
Habari za Makanisa
Kutoka Makanisani
Ratiba za Ibada
Mikutano na Semina za neno la Mungu
Huduma za Watumishi Yaliyojiri Ibada za Jumapili
PRIMIUN ADS
Home
Magazetini
Ushauri wa kiroho
Teknolojia
Help
Mawasiliano
© 2013 Darubini Leo
Designed by:
Mesh Mushobozi