Darubini Leo
Mwanzo
Magazeti
Ushauri wa Kiroho
Mawasiliano
Jumamosi, 8 Juni 2013
AJIRA NI POPOTE; LA MUHIMU MKONO KINYWANI
Hapa ni maeneo ya Ubungo barabara ya Morogoro jirani na taa za kuongozea magari, ndugu huyu ufanya kazi ya kusafisha vioo vya magari na baada ya hapo uomba ujira wa ile kazi aliyoifanya, na umri wake ni kama miaka 32 hivi, na kila wakati utamkuta maeneo jirani na mataa, akivizia magari yanapo simama ili aweze kufanya usafi
Wakati mwingine uongeza bidii na hadi anapanda juu ya magari kwaajili ya kusafisha, kwa hakika lazima utatoa tu pesa, je hii nayo ni ajira au ni uvunjifu wa sheria za usalama barabarani na kuwakosesha watu amani?
Posted By:
Unknown
On
02:42
In
Tweet
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Call Us Now:
+255 655 732121, +255 716 758595 / +255 762 758595
Popular Posts
TUTAWASAKA NA KUWAPATA WALIPUAJI - WAWE NDANI YA NYUMBA AU NDANI YA MAJI:- RAIS KIKWETE
"Waliofanya haya hawana pa kujificha, iwe ndani ya nyumba, nje ya nyumba, chini ya maji, ndani ya nchi, nje ya nchi - tutae...
MAMA MARIA /LOWASSA WACHANGISHA MILLION 247.3
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa amechangisha Million 247.3 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Kiabakari Wilaya ya Butihama katika...
KAKOBE ANAPELEKA INJILI NCHINI CANADA!!!
Hii ni historia katika nchi ya Tanzania, mtanzania anapenya hadi katika mataifa makubwa kupeleka habari njema za Injili ya Yesu Kristo, kwa ...
WACHAWI WADONDOKA CHINI HUKO SHINYANGA, NA WAFIKISHWA KATIKA MIKONO YA SHERIA, NI VIKONGWE WA SANGOMA
AMA hakika duniani kuna mambo! Na lisemwalo lipo kama halipo basi laja. Ni jambo ambalo ni vigumu kuliamini lakini ukweli wa mambo n...
PAPA ATAKA USAWA KWA WAHAMIAJI
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Baba Mtakatifu Francis, amelaani tofauti zilizopo duniani katika kuwaangalia wakimbizi na wahamiaj...
WATU KADHAA WAFARIKI!! BAADHI YA PICHA ZA MATUKIO YA VURUGU ZA MKOANI MTWARA
Kumetokea vurugu kubwa mjini Mtwara, vurugu ambazo zimesababiswha na wananchi na wakazi wa Mtwara, vurugu hizi zilianza tu mara baada ya ...
RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA MADHEHEBU MBALIMBALI YA DINI YA KIKRISTO IKULU
Raisi Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi wa madhehebu ya kikristo dini Ikulu Dar es salaam jana, Rais amekuwa na mazungumzo na viongo...
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KATIKA MAZISHI YA MZEE ALLY KLEIST SYKES
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali, Rais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William...
PAPA AMEKUBALI PADRI MOSHA KUOA
Moshi. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki l...
RAIS KIKWETE ASHIRIKI KATIKA SHEREHE ZA KUWEKWA WAKFU ASKOFU MKUU WA ANGLIKANA
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania aliyemaliza muda wake Dkt.Valentino Mokiwa(katikati) akimtambulisha kwa Rais Dkt.Jakaya M...
Mara ngapi imetembelewa?
Habari toka Mitandaoni
BOFYA HAPA: Kupata habari mpya toka Funguka sasa
BOFYA HAPA: Kupata Habari mbali mbali za soka toka vilabu vikubwa Duniani na Tanzania pia.
Pia unaweza kutangaza nasi kwa bei nafuu kabisa kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa namba zinazoonekana kushoto kwako
Mawasiliano
Wasiliana nasi kwa kutumia Namba za simu:
+255 655 732 121 au +255 716 758 595
Pia kwa Barua pepe:
sautiyakanisa@gmail.com
Tutumie maoni ni jinsi gani twaweza kuboresha huduma yetu ya habari kwa ajili yako na jamii yetu pia.
Tuma ujumbe kwenye barua pepe au moja kati ya namba za simu hapo juu.
Habari za Makanisa
Kutoka Makanisani
Ratiba za Ibada
Mikutano na Semina za neno la Mungu
Huduma za Watumishi Yaliyojiri Ibada za Jumapili
PRIMIUN ADS
Home
Magazetini
Ushauri wa kiroho
Teknolojia
Help
Mawasiliano
© 2013 Darubini Leo
Designed by:
Mesh Mushobozi