TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI ZA AJALI
Kama ule usemi usemao hatujui yatakayo tokea kesho, ndicho kilichotoa muda mfupi uliopita majira ya saa moja jioni leo tarehe 02/07/2013, baada ya gari dogo lililokuwa linatokea maeneo ya Ubungo kwenda uelekeo wa Buguruni kumgonga mwenda kwa miguu aliyekuwa anavuka barabara katika maeneo gereji (garage) Maeneo haya ni mara baada ya kituo cha daladala mabibo external, kituo kinachofuata kama unakwenda Buguruni kinaitwa gereji, hapa ndipo ilipotokea ajali hiyomtu aliyegongwa hakuweza kufahamika kwa wakati huo na mashuhuda wengi wa ajali hiyo, lakini ni kijana wa kiume mwenye umri kati ya miaka 30 na 22, rangi yake ni mweusi, na alikuwa amevaa t-shirt nyeupe iliyokuwa na maandishi ya ADIDAS,
kwa hakika maisha yetu wanadamu ni mafupi sana!! tunaweza kuwa na mipango mengi na malengo mazuri sana, lakini mwisho wetu ukawa hivi pasipo hata kutarajia!! ndio maana wale wanao amini juu ya maisha mengine baada ya kifo, wanfundisha na kusema tunapaswa kujiweka tayari kiroho wakati wote
hii ni balaa
JibuFutaDuh mamaa masikini pengine alikuwa anaenda kutafuta riski Subhanallah!
JibuFutaumeona ee dah inatisha..mungu wangu
FutaKWA KWELI INATISHA!!? MADEREVA WANATAKIWA WAWE WAANGALIFU WAKIWA BARABARANI,PIA WAZINGATIE SHERIA, BILA HIVYO TUTAANGAMIA KWA AJALI.
JibuFutaHakika apangalo Mola huwa!
JibuFutaduh inna lillah
JibuFutamaisha ya vijana yanakatishwa..mungu amsamehe
JibuFutaMungu aiweke roho ya marehemu peponi amen.
JibuFutaMungu aiweke roho ya kijana huyu asiye na kosa mahala pema peponi Aamin. Jina la Bwana lihimidiwe.
JibuFutaEneo hili ndili pia alipopata ajali mdogo wangu Godfrey Haule miaka mitatu iliyo pita. kweli inasikitisha sana.
JibuFutainasikitisha sana
JibuFuta