Jumamosi, 25 Mei 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AMEWASILI ADDIS ABABA KWAJILI YA MIAKA 50 YA UMOJA WA AFRIKA


jk aa97d
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na maafisa wa ubalozi pamoja na wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Ethiopia, Ijumaa Mei 24, 2013 usiku tayari kuungana na viongozi wenzie wa Afrika pamoja na wageni waalikwa katika sherehe za miaka 50 toka umoja wa Afrika (OAU na AU) kuanzishwa pamoja na mkutano wa kawaida wa umoja huo


jk1 b0476

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Ethiopia, Ijumaa Mei 24, 2013 usiku tayari kuungana na viongozi wenzie wa Afrika pamoja na wageni waalikwa katika sherehe za miaka 50 toka umoja wa Afrika (OAU na AU) kuanzishwa pamoja na mkutano wa kawaida wa umoja huo
jk2 1fa4b
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakisikilia maelezo toka kwa Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Profesa Joram Biswalo maara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Ethiopia, Ijumaa Mei 24, 2013 usiku tayari kuungana na viongozi wenzie wa Afrika pamoja na wageni waalikwa katika sherehe za miaka 50 toka umoja wa Afrika (OAU na AU) kuanzishwa pamoja na mkutano wa kawaida wa umoja huo.

Call Us Now:

+255 655 732121, +255 716 758595 / +255 762 758595